Can't wait aisee league ianze sasa.. Ila tungempata winga mmoja Mwenye nguvu atakayekuwa anafanya backup plan kurudi nyuma na kupandisha mashambuli alafu awe na pass accurate kikosi kitarotate vizuri sana.
Lukagoal lile bao mjingamjinga hafungi kwanza ile battle ya kukutana na kipa akapiga kichwa kisha kujikunja vile hivyo vitu ndio tuliopungukiwa ukijumlisha na volley za Pogba zimepata mkunaji basi ni burdan kwetu.
Naona man utd fansa wanawasifia sana lukaku rushford .....ila jaman mmesahau hawa wawili Micki na lingard ....kwenye pre season wame onesha kiwango kikubwa sana ......
Kweli mkuu,dogo huwa anauwezo wa kudrible kwa kasi mpira kwa umakini kuliko mchezaji mwingine,ukimwacha mikhi..sema watu huwa wakimchukia mtu huwezi kulazimisha wamwelewe..ila my side jesse anadeserve kupata nafasi..