Mwenyewe nmeamua kuacha tu kumjibu.Maana mtu unabishana na takwimu ni wakumuacha tu.Vyote hivyo umevionea wapi wakati Morata ajawai kucheza dakika 90?
Takwimu hazidanganyi mkuu.Mkuu kama unaamua tu kubishana ili utoke povu just go ahead.
Binafsi hata Mimi as shabiki Wa Man U nilitamani zaidi tungempata Morata lakini haikuwa hivyo.
But as a matter of fact Lukaku ni goal getter mzuri zaidi kuliko Morata ndio mana utaona katika same Interval Lukaku amefunga zaidi kuliko Morata.
Morata ni mzuri zaidi hata team ikizidiwa coz anaweza kushuka kusaidia viungo na akatoka kati na mpira kupandisha mashambulizi While Lukaku ni mzuri zaidi akilishwa na viungo/winger wachezeshaji.
Hivyo tukubaliane kuwa hawa Wachezaji wote ni wazuri na sisahihi kuona kwamba mmoja ni garasa dhidi ya mwingine.
Morata huyu huyu kwenye miaka minne kafunga goli 40 tu au mwingine?Kumfananinisha kilaza Lukaku na morata ni sawa na kupamba mavi maua
Hahaa umeonaewalijua na dagea watapata kisenge2 km ronaldo,beckham na heinz
Nitajie top two scorer wa epl😛 😛 😛 😛 😛 hili povu babu kubwa! Makaku hamna kitu hapo, mmenunua tembooooo! Mwili mkuuuuubwa akili nukta 😎 😎 😎 😎 😎
Pogba wa tz nchi imekushinda!
Majinga ayo yatajuajeHapo ndo unapofeli unapojifanya unajua siri za taarifa za usajili za man utd,kwa taarifa yako sasa Man utd ilikuwa inashughulikia usajili wa Morata na Lukaku kwa pamoja,na wachambuzi wameanda mbali kusema huenda man utd walihamishia attention yote kwa Morata huku secrectly wakimfukuzia lukaku ndo maana nyie mlirelax mkajua lukaku wenu mwishowe tunajua kilichotokea.
Hahahaha akirudi tena basi ni jangili.Vyote hivyo umevionea wapi wakati Morata ajawai kucheza dakika 90?
Jamaa hawataki kutuuzia ndo maanaBinafsi inanikera nikiskia Martial awe included kwenye deal ya Perisic. Perisic wa kawaida kabisa. Mzeee kweli umbadilishe na Martial mtoto?
aiseeh, hamna jinsi, tumwache mourinyoo aamueBinafsi inanikera nikiskia Martial awe included kwenye deal ya Perisic. Perisic wa kawaida kabisa. Mzeee kweli umbadilishe na Martial mtoto?
morata wala, chelsea wenyewe inawauma kumkosa lukaku,Kwa hiki wanacho kifanya MADRID sio kitu kizuri kabisaa. Sisi tuliwapa CR7 wenyewe wanatunyima MORATA.
Tumeamua kumchukua ROMELU AMBROSI LUKUMBESA BOLINGO LUFUFU. Bila ya kupenda lilikuwa chaguo la Z.
Wallah kuanzia leo tunasema tunahamia BARCELONA.
Asee watu bhana
So kutokucheza dakika 90 kunamaanisha nini?Vyote hivyo umevionea wapi wakati Morata ajawai kucheza dakika 90?
Naona umekalia kitu kizito chenye ncha Kali, Sina hakika kama hujaacha mbolea hapo.Kumfananinisha kilaza Lukaku na morata ni sawa na kupamba mavi maua
Tunaongea kitu kimoja katika muktadha tofauti then mnasema tunabishanaMwenyewe nmeamua kuacha tu kumjibu.Maana mtu unabishana na takwimu ni wakumuacha tu.
nimebahatika kuangalia mechi zote mbili tulizocheza nchini marekani ila ninashangazwa na suala la mourinho kumtumia fundi andreas perreira kama ni deep play maker,kiukweli bado nimebaki najiuliiza masuali mengi sana kuhusiana na mustakabali wa kijana huyu
- je ina maana jose mourinho anataka kutuonesha sisi mashabiki na wapenzi wa manchester united ya kwamba perreira ndio mrithi wa michael carrick?
- au anataka kutuonyesha ya kwamba hizi kelele zetu tunazopiga juu ya kutaka amsajili nainggolan ambaye ni kiungo wa AS ROMA kwake yeye si kitu na anamuona andreas perreira anaweza kuwa ni bora zaidi ya nainggolan?
- au ameamua kuachana na mpango wa kumsajili kiungo wa ulinzi kama matic na dyer kutokana na soko la usajili kuwa ni gumu sana?
- au ni kwa sababu itakuwa ni vigumu kwa perreira kupata namba kama kiungo mchezeshaji kutokana na kuwa na wachezaji kama pogba, mata, mkhitaryan, lingard, herrera.
- au anataka kumfanya awe strong kama alivyomfanya herrera msimu ulopita?