mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,696
Tunamhitaji perisic aimarishe ushambuliaji kama shida ni umri mbona hata zlatan anao..????Martial ni bonge la mchezaji suala la ubinafsi kila attacker pale man u analo. Dogo kwa umri wake yuko poa sana. Perisic ni complete player ila umri na kwa pesa ile sio kabisa. Martial kila apewapo game huwa anafanya vema. Mou anatakiwa ampe game 10 mfululizo aone maajabu yake. Kiufupi pale tunatakiwa mleta mchezaji mmoja tuu Dier
Sheria inasemaje kwa wazawa? Ile ni timu ya england, mnataka wabakie wageni watupu?perreira mtulivu sana huyu kijana,mi ningependa apewe nafasi.Jones na smalling sijui ni kwa nini wapo united kwa kweli..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulicheki game ya Leo goli la kwanza tulilofungwa ni makosa ya Jones na tatizo lake ni lile lile la kutokuwa aggressive anapobaki man to man na striker. Tumefungwa goli rahisi sana. Sasa hivi tunawachezaji wa kiwango cha dunia wanaoweza kucheza Nafasi ya ulinzi; Rojo, Bailly, Linderholf, Tuanzebe... Sioni sababu za kuendelea kuwashikilia Jones na Smalling. Ni muda waende kutafuta changamoto mpya kwingine.
Andreis Pereira.
Kama kuna mchezaji pale Manchester tunapaswa kumuangalia kwa jicho la tatu ni huyu kijana...
Sent From My Nokia Ya Tochi
Una habari kama Erick Dier wa Tottenham yupo kwenye radar za José Mourinho??? ....Sheria inasemaje kwa wazawa? Ile ni timu ya england, mnataka wabakie wageni watupu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulitaka tunune Au tulie!Kweli nyie watu ni losers yaani mnafurahia kuifunga Salt Lake goli 1 tofauti
Na msimu huu hambebi chohote
We busha una mienendo ya kishoga kaa na wanawake wenzio huko,huku kumejaa wanaume.Kweli nyie watu ni losers yaani mnafurahia kuifunga Salt Lake goli 1 tofauti
Na msimu huu hambebi chohote
Mkuu sina, najua ni tetesi tu za wauza magezetiUna habari kama Erick Dier wa Tottenham yupo kwenye radar za José Mourinho??? ....
Sent From My Nokia Ya Tochi
Hakuna mtu aliefurahia ushindi.. Unajua lengo la pre season ni nini? Unajua kwanini kunakua na unlimited substitution?Kweli nyie watu ni losers yaani mnafurahia kuifunga Salt Lake goli 1 tofauti
Na msimu huu hambebi chohote
Ukija huku uje ujitaburishe kwanza tujue timu yako ,ulitaka tunune auKweli nyie watu ni losers yaani mnafurahia kuifunga Salt Lake goli 1 tofauti
Na msimu huu hambebi chohote
Hamjalikataa Bali limewakataa nyinyi maana ofa tuliyopeleka na nyinyi ni sawa so usijipe credit eti mlimkataa na wakati alowakataa nyinyiHali ni Gani humu? Wazee wa SITA, MancheSITA, naona jembe Jipya tulilolikataa Darajani limeanza kuonyesha makeke yake
Hongereni kwa stiker Lukaku
Hamjalikataa Bali limewakataa nyinyi maana ofa tuliyopeleka na nyinyi ni sawa so usijipe credit eti mlimkataa na wakati alowakataa nyinyi
Lukaku aligoma kwenda chelsea full stop. Wote tuliweka dau sawa akachagua timu kubwa uingereza,yenye mashabiki wazuri na kiwanja kizuri sio maneno yangu ni ya Lukaku mwenyewe. Iwe ni michezo ya kijinga ya Mou au la uamuzi wa mwisho alikua nao Lukaku.Huyo hajaikataa Chelsea na alikiwa anaitaka sana, kwenda Man hiyo ni michezo ya kijinga ya Mou, akisikia makocha wa uhakika wanamtaka fulani yeye bila kuwa na mpango anatumbukiza pesa ili kuikomoa timu iliyokuwa inamuhitaji mchezaji husika, Everton inahitaji pesa so Mou alifika dau la kutakata na wakawa hawana jinsi
Mou alikuwa Darajani tunamjua, na yeye ndiye aliyemwacha Mata na huyo Lukaku, leo anawaona lulu? Kwa usajili wa kijinga wa kushindana bila kuwa na strategy ya aina ya mchezo na wachezaji unaowahitaji ataishia tena nafasi ya msimu uliopita