Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Nemanja Matic hawezi ziba pengo la Carrick. Carrick mtu tofauti sana pale. Sii tuu kukaba kuintercept bali pasi zake zile za mafichoni. Mtu ambaye tukimpata itakuwa burudani pale ni Eric Dier. Dogo yuko vizuri sana.
Eric Dier anae ozea benchi kwa kukosa namba mbele ya Wanyama? Wekeni mahaba pembeni mnapoangalia wachezaji.
Huyu jamaa simkubali kabisa!!Perisic Ivan nae mzuri ila watu wa taipu yake wako wengi pale.
Mbona tulimfata Alvaro na anakaa bench? Dier bado mdogo 23yrs na kiwango alichonacho kinatosha kuja kuwa mrithi wa Carrick. Mtizame vizuri.
Eric Dier anae ozea benchi kwa kukosa namba mbele ya Wanyama? Wekeni mahaba pembeni mnapoangalia wachezaji.
Angalia data za Morata halafu ndio utajua ni kwanini alifatwa. Uyo Dier ambae hawezi kupata namba hapo Spurs ndio unataka aje kuwa namba 6 wetu? Weka mahaba pembeni kijana.
Ishu hapa unataka mtu aliye first eleven au mtu fundi? Data za morata hazijafika kabisa kwa Lukaku. Huoni ata Chelsea FC wameogopa kumfata?! Unazani ni kwann Dier wanadai is not for sale.
Tatizo la Morata ni bei yake,hizo ni habari za kwenye magazeti tu kama wamemuuza Walkee unadhani watashindwa kumuuza Dier? Tatizo ni bei atakayouzwa ni tofauti na uwezo wake.
Anatakiwa mchezaji mwenye uwezo,Matic,Fabinho wanaweza kucheza namba 6 bila shida yoyote.
Matic aged. Fabinho ligi ya uingereza atahitaji azoee kidogo bt Dier tayari anaijua ligi. Hebu cheki hapo chini uone angecheza game nyingi dier ingekuwaje?
Mi namuamini kocha wangu,kama anamtaka dier nami namsupport.Dier bonge la mchezaji
Post sent using JamiiForums mobile app
Hii klabu mbovu inafundishwa na kocha aliyekufanya uishabikie ChelseaMatic labda mumchore chini. .alafu mumbandueekwa kiwango chake hawezi cheza klabu mbovu kama man.
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Mkuu belo usibishane na vi.la.zaHii klabu mbovu inafundishwa na kocha aliyekufanya uishabikie Chelsea
Dier bonge la mchezaji
Post sent using JamiiForums mobile app
Wachezaji karibia wote wa first eleven wamefanya hivo ...ni pogba Mateo ibra nadhanJe, ni Pogba peke yake ambaye hajamtakia heri Rooney among wachezaji wa Man Utd?
Wachezaji karibia wote wa first eleven wamefanya hivo ...ni pogba Mateo ibra nadhan
Uwajui waingereza ww ....sio kwamba hauzwi ila wanataka uende wakwambie paundi 65 milIshu hapa unataka mtu aliye first eleven au mtu fundi? Data za morata hazijafika kabisa kwa Lukaku. Huoni ata Chelsea FC wameogopa kumfata?! Unazani ni kwann Dier wanadai is not for sale.
Uwajui waingereza ww ....sio kwamba hauzwi ila wanataka uende wakwambie paundi 65 mil
toka kwenye jukwaa la wanaume wewe..Matic labda mumchore chini. .alafu mumbandueekwa kiwango chake hawezi cheza klabu mbovu kama man.
Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app