Walituazima Rooney sasa tunawarudishia... Wametupa tena Lukaku... Duuuuuuuh... Mungu wabariki Everton wasishuke daraja...Na wasijali Baada ya miaka 8 tunawarudishia tena... GGMU
Walituazima Rooney sasa tunawarudishia... Wametupa tena Lukaku... Duuuuuuuh... Mungu wabariki Everton wasishuke daraja...Na wasijali Baada ya miaka 8 tunawarudishia tena... GGMU
Walituazima Rooney sasa tunawarudishia... Wametupa tena Lukaku... Duuuuuuuh... Mungu wabariki Everton wasishuke daraja...Na wasijali Baada ya miaka 8 tunawarudishia tena... GGMU
Huko mbali sana mkuu, Everton ni kama Arsenal tu, hawashuki daraja wala hawashindi kikombe, wapo tu kuburudisha na kutoa upinzani kwa vipindi vipindi kama ugonjwa wa malare.