Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbuzi kafia kwa muuza supu, wataomba Man Utd ingeshuka daraja
 
Kwani EPL ubingwa unaletwa na kuzifunga timu kubwa?Nauliza tu kiroho safi.
 
Everton hashuki daraja
Ana kawaida ya kuiba"wasiojulikana" na wakatamba
Everton ya uingereza sawa na mtibwa bongo wao wanachukua wanatengeneza wanauza daraja hawashuki kizembe
 
Everton ya uingereza sawa na mtibwa bongo wao wanachukua wanatengeneza wanauza daraja hawashuki kizembe

Huko mbali sana mkuu, Everton ni kama Arsenal tu, hawashuki daraja wala hawashindi kikombe, wapo tu kuburudisha na kutoa upinzani kwa vipindi vipindi kama ugonjwa wa malare.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…