Rooney ili ahame United na kubaki England kitu cha kwanza lazima akubali kupunguza mshahara wake,hakuna team inayoweza kumlipa mshahara anaopata hapo United labda aende China,Rooney anaondoka moja kwa moja haendi kwa mkopoEverton wanataka tulipe nusu ya hiyo mishahara
Kama ni kweli Mourhnio kachemsha. Carrick hatarajiwi kucheza mechi nyingi musimu huu ndiyo maana tunasajili akina Matic na wengineo. Defensive midfielders
Carrick ni Nahodha msaidizi kwa sasa, Rooney akiondoka lazima apande hata kama atakuwa hachezi sana, hiyo ndo ilivyo kawaida wazoefu wa club lazma wapewe unahodha, na kumbuka manahodha wapo watatu, kuna Rooney, Carrick na Valencia kwa hyo hata rooney akiondoka lazma atatafutwa mwengine wa tatu kuziba pengo.Kama ni kweli Mourhnio kachemsha. Carrick hatarajiwi kucheza mechi nyingi musimu huu ndiyo maana tunasajili akina Matic na wengineo. Defensive midfielders
Mwanangu timu zinatupandishia dau, Fikiria Morrata aliyekuwa anasugua benchi Madrid leo wanataka kutuuzia kwa M 90 wapi na wapi, price na kiwango cha mtu haviendani kabisa. Lazma Edwoord atumie akili na subra bila kukurupuka, tusije tukanunua Magarasa kwa bei ya juu baadae tukaja kulalamika.Jamani Mimi mbona sioni dalili zozote za timu yetu kusajili mchezaji wakati jumamosi ndo timu inaanza mazoezi rasmi.
Morata kapanda dau £90Morata ni £70m while Lukaku ni £100 bora hata angebaki Zlatan kuliko Lukaku
Bora kumpotezea tu mi navyoona maana Dau ni kubwa sana kuliko mchezajiMorata kapanda dau £90
Afadhali, Madrid wabaki na morata wao waendelee kumuweka benchi.BREAKING: Manchester Utd have agreed a fee in the region of £75m for Everton striker Romelu Lukaku.
(source: BBC Sport & Sky Sports)
Nakwambia lukaku atapasua tu anamiguvu na akili ila perez kafanya utoto kabisa morata kaa benchi januari tutatoa £ 30me lukaku ht cmuelewi sema haina jinsi acha 2one...itakavyokuwa
mkuu huu usajili me naona km man wamepanick jamaa co mzuri kiivyo...angekuwa wamaana sn kipndi 2mekoma na morata chelsea wangeshambeba ! na km kwenye option huyu atakuwa alikuwa chagua la mwishoNakwambia lukaku atapasua tu anamiguvu na akili ila perez kafanya utoto kabisa morata kaa benchi januari tutatoa £ 30
Lukaku bonge la mchezaji....mkuu huu usajili me naona km man wamepanick jamaa co mzuri kiivyo...angekuwa wamaana sn kipndi 2mekoma na morata chelsea wangeshambeba ! na km kwenye option huyu atakuwa alikuwa chagua la mwisho