Jinsi Man U walivyozidiwa,inapelekea kujiuliza kama shida ni kiwango cha soka cha EPL ya UK ni kidogo zaidi ya La Liga ya Spain,ama ni kiwango cha Man U ni finyu kiasi hicho dhidi ya Barca?Kuna mwenye jibu?
Jinsi Man U walivyozidiwa,inapelekea kujiuliza kama shida ni kiwango cha soka cha EPL ya UK ni kidogo zaidi ya La Liga ya Spain,ama ni kiwango cha Man U ni finyu kiasi hicho dhidi ya Barca?Kuna mwenye jibu?
Na siyo timu zote za UK zinauwezo wa kucheza kama Man U,kwahiyo tatizo ni viwango vya ligi ama timu hizi mbili?Kwasababu Real Madrid kama sikosei waliwatoa Totenham Hotspurs,na Barca waliwatoa Arsenals.
Na siyo timu zote za UK zinauwezo wa kucheza kama Man U,kwahiyo tatizo ni viwango vya ligi ama timu hizi mbili?Kwasababu Real Madrid kama sikosei waliwatoa Totenham Hotspurs,na Barca waliwatoa Arsenals.