Habar kutoka sky Italia zinasema inter wameweza kuraise fund 30 million zilizokua zinahitajika FFP hivyo hawatweza kumuuza tena Ivan peresic so nahisi ni muda wa kuangalia kwengine ikiwa dirisha la usajili linafunguliwa tarehe 1 julai hivo mou akitaka angalau wachezaji wote wawe kambini kabla ya kuelekea marekan kwenye tour 2017
Ni hayo tu nawasilisha