Kama tutaweza kwenda mapumziko hawajatufunga basi tutakuwa na nafasi kubwa kuwafunga,kitu cha msingi ni kumbana Dani Alves kwani mara nyingi ndio analeta mashambulizi ya Barca.Tuna defence nzuri kuliko wao na wao wana midfield kali kuliko sisi
Kama tutaweza kwenda mapumziko hawajatufunga basi tutakuwa na nafasi kubwa kuwafunga,kitu cha msingi ni kumbana Dani Alves kwani mara nyingi ndio analeta mashambulizi ya Barca.Tuna defence nzuri kuliko wao na wao wana midfield kali kuliko sisi
Wakuu japo kuwa baadae nitakuwa namshangilia Messi anavyowaadhibu kama nyie mlivyokuwa mnamshangilia tulipo cheza nao, nimeona nije mapema kutenda haki ya uwana michezo kwa kuwatakia kila la kheri hapo baadae.
Kwahio wakuu wote wajamvi hili kila la kheri leo na mfanikiwe kuvuna mlicho kipanda.
Kama tutaweza kwenda mapumziko hawajatufunga basi tutakuwa na nafasi kubwa kuwafunga,kitu cha msingi ni kumbana Dani Alves kwani mara nyingi ndio analeta mashambulizi ya Barca.Tuna defence nzuri kuliko wao na wao wana midfield kali kuliko sisi
Hapa ndio utawapenda KBC! If you are there, just tune it On. This game has been given some importance of itself. Sijui hizi station zetu za Bongo vipi?
TEAM NEWS SNAP Man Utd start with Wayne Rooney and Javier Hernandez up front, with no place for Darren Fletcher. Dimitar Berbatov is not even on the bench - Michael Owen is.