Ili kuimairisha kiungo bora fabinho atue ..fabinho ni mdogo just 23 ..na nguvu na speed pia ..ana pass nzur ..anaweza kucheza kama kiungo mkabaji na beki no 2 kama cover up ya valencia ..mm naona ndo litakua chaguo sahii kwa united
Kwa upande wa winger tukichukua persic itakua vzur. Atatosha kabisa
Foward akija morata ni vizur ..ila pia rooney umri umeenda itakua vzur tukichukua foward mwninge ila acwe wa bei kubwa ..
Mou ajitahid kumchezesha andreas perreira na subir sana kumuona akipiga kiungo pale