Shida ya timu yetu ikikutana na timu inayo weza kupress sana kuna uwezekano wa kupoteza. Kama kiroho kinaniuma vile. Kama Ajax wakikubali kucheza mpira wetu wamekwisha. Ila kocha wao keshasema they have their own way of playing.
Tangu lini Ng'ombe akawa mtabiri???? wanazinguwa hao waholanzi sina kumbu kumbu kamili ila ilikuwa ni game za World cup hao waholanzi walitumia Jogoo kutabiri na bado wakapigwa goli.