[HASHTAG]#HapaAjaxTu[/HASHTAG]. ..lazima mcheze Europa hakuna namna sasa ..mourinho msimu ujao hatupo naye UEFA, na hata akiingia hatafanya la maana. Mapema sana kwenye makundi atapitishwa hivi. Timu mbovu haina ushindani, timu imekuwa ya option sasa iv
mnalazimisha kwenda uefa wakati wachezaji hawaja andaliwa kushiriki. Hahaha mtapotea tuu. Ngoja Ajax atamwonesha mou namna timu inavotakiwa icheze hahaha