Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Thanx mkuu pamoja mpaka sasa tupo down kwa goli moja na tunahitaji point 1 tu basi....
 
Reactions: Mbu
Kipa hakuwa na sababu kabisa ya kwenda kucheza rafu mpira ulikuwa mzuri watu wanatolea jasho point moja ya ubingwa yeye kaenda kugawa goli.
 
Kipa hakuwa na sababu kabisa ya kwenda kucheza rafu mpira ulikuwa mzuri watu wanatolea jasho point moja ya ubingwa yeye kaenda kugawa goli.

Hahaha mkuu pressure sio mchezo ndio maana kajichanganya sasa....ila sio mbaya sana.......
 
Valencia anapiga defence duu lakini anacheza vizuri......
 
asavali...hata sicheki game, ila karoho kanadunda nikisikia msg imeingia nahisi 'wanga' wameaanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…