Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Rooney kaangushwa faulo
Na anahasira kishenzi maana credit zote siku hzi anapewa fordMartial anapiga kazi yake kimyakimya...
Anthony Martial's goal costs Man Utd £8.5M as additional fee.Martial anapiga kazi yake kimyakimya...
Martial baada ya kupokonywa jezi namba na kupewa Ibra kidogo akaanza kuyumba na Matatizo ya kifamilia akazidi kuwa down + plus banch na kauli za Mou akajiona Mnyonge lakini now amekubaliana na hali na nafasi imepatikana hana cha kupoteza sasa.Martial anapiga kazi yake kimyakimya...
Ìla mkuu kasaidia na yeye kwenye magoliSasa mutaprove kama zlatan alikua mzigo, hakupaswa kabisa kuingia first eleven ya utd
Zimebaki game ngapi na Ni za nan na nani.....???Martial baada ya kupokonywa jezi namba na kupewa Ibra kidogo akaanza kuyumba na Matatizo ya kifamilia akazidi kuwa down + plus banch na kauli za Mou akajiona Mnyonge lakini now amekubaliana na hali na nafasi imepatikana hana cha kupoteza sasa.
A prove kipaji chake,tuna game ngumu mno zinazofata na pressure ipo juu.
Tuna game na Man City inayofata,then Asernal,Southampton afu kuna nusu fainal na Celta vigoZimebaki game ngapi na Ni za nan na nani.....???