Natamani Mou aanze sasa kumuamini Rooney ili asaidiane na Rashford katika ushambuliaji baada ya kupungukiwa mshambuliaji mmoja na kiungo mshambuliaji Matta.
Pogba pia sasa aanze kubadilika na kuangalia mzigo alioubeba,ni aibu mchezaji aliyesajiliwa kwa record sign kushindwa ku perform, ameshindwa hata kuingia katika timu ya Epl ya Mwaka,kwa maoni yangu nasema Pogba ameperform Low this season,ni mchechaji wa saba kwa perfromance nadhani ndani ya Club.
Ameshindwa kuonyesha thamani yake halisi,na nadhani anapata nafasi kutokana na Mkataba wake kuwa na hicho kipengele.