Van Gaal alishaishia hatuko naye na ni mstaafu na Schneiderlin hatuko naye yuko Everton lakini Schneiderlin bado ana donge na Van Gaal kisa adai alimgeuza Robot.
Hii inatokana na kumtaka acheze kiana fulani na kuficha au kufunika vipaji vyake
Moyes adai kwa Mourhnio kushinda angalau kikombe kimoja kumempa ulaini wakati yeye kipindi chake kifupi cha ukocha Manutd alitolewa kwa peneti na Sunderland na aamini kama angelishinda lile kombe ambalo Mourhnio alilishinda pengine naye angeliongezewa muda.
La kuongezewa sina uhakika nalo tukizingatia timu haikuwa in acheza vyema hata punje moja