Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ninaafiki kabisa. Ukiangalia mechi nyingi tulimissi sana. Kross nyingi hakuna wa kuanganisha maana strikers wengi hawapo langoni na nafasi hizo Chicharito haachi mtu
kabisa,tungekuwa mbali sana kama tungekuwa na mtu kama hernandez pale mbele..hawa madogo wanafika golini mpira wanampa kipa badala ya kufunga..
 
Mourhnio amhofia Defoe leo hapo ujue mabeki kawapa mikakati asifurukute hata chembe
 
75% ushindi kwa uwiano na nyakati nyingine ambazo Manutd hawakufungwa kiasi hiki
 
Mourhnio ampigia mahesabu Ozil na tusishau walikuwa wote Real Madrid. Kama Mourhnio akifanikwa mathalani kuwasajili wote wawili Ozil na Sanchez kutoka Arsenal muziki wetu hakuna wa kuacha kuucheza na kujisalimisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…