Ninaafiki kabisa. Ukiangalia mechi nyingi tulimissi sana. Kross nyingi hakuna wa kuanganisha maana strikers wengi hawapo langoni na nafasi hizo Chicharito haachi mtu
Ninaafiki kabisa. Ukiangalia mechi nyingi tulimissi sana. Kross nyingi hakuna wa kuanganisha maana strikers wengi hawapo langoni na nafasi hizo Chicharito haachi mtu
Mourhnio ampigia mahesabu Ozil na tusishau walikuwa wote Real Madrid. Kama Mourhnio akifanikwa mathalani kuwasajili wote wawili Ozil na Sanchez kutoka Arsenal muziki wetu hakuna wa kuacha kuucheza na kujisalimisha