Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,119
- 740
Lindigard ni mchezaj mzuri sio wa kumbezaLeo no excuse wadau, timu yetu haistahili kuwepo Top4, hata Europer Cup hatutoweza kubeba kwa aina ya wachezaji tulionao, tuna average player wengi sana, wachezaji wengi hawastahili kuchezea Man Utd like Lingard, etc
Since Sir Alex retirement hii timu imekua mshipa uliomshinda fisi,
Mourinho apewe muda atutengenezee Manchester United mpya.
Football is a process
Mkuu nakubaliana na wewe kwa asilimia zote, wachezaji wengi tulionao hawana hadhi kucheza pale, ni wachezaji wa kucheza wigan ukoLeo no excuse wadau, timu yetu haistahili kuwepo Top4, hata Europer Cup hatutoweza kubeba kwa aina ya wachezaji tulionao, tuna average player wengi sana, wachezaji wengi hawastahili kuchezea Man Utd like Lingard, etc
Since Sir Alex retirement hii timu imekua mshipa uliomshinda fisi,
Mourinho apewe muda atutengenezee Manchester United mpya.
Football is a process
Lingard is verage player, pale Chelsea Lingard hata bench hakai,Lindigard ni mchezaj mzuri sio wa kumbeza
Huwezi kuwa na WC players timu nzima lazima uwe na squad players watakaosaidia hao WC players,SAF alikuwa na kina Johnsen,Oshea,JS Park,Brown,Evans,Butt,PNeville,Smith na walikuwa na msaada mkubwa.Lingard is verage player, pale Chelsea Lingard hata bench hakai,
May be uniambie atolewe kwa mkopo kiwango kipande then arudi kundini, even Rashfod atolewe kwa mkopo apate playing minutes nyingi
Kwa kweli huo ndo ukweli.Unafaham uzuri wa Zlatan upo wap?
Anajua kuji'position muda na wakati sahihi, experience inamsaidia sana, Rashfod simraumu, kiwango chake kimeishia pale
Huyo alikua Sir Alex tu ndio anaweza kuwa na aina ya wachezaji Fletcher, Oshea, Js Park na akabeba kombe, hakuna kocha mwingne anayeweza fanya ivyo kwa wachezaji wa aina iyo even Mourinho,Huwezi kuwa na WC players timu nzima lazima uwe na squad players watakaosaidia hao WC players,SAF alikuwa na kina Johnsen,Oshea,JS Park,Brown,Evans,Butt,PNeville,Smith na walikuwa na msaada mkubwa.
Wachezaji wengi(midfielders na foward) wanacheza chini ya viwango
Last season Leicester wamechukua ubingwa na average players karibia timu nzimaHuyo alikua Sir Alex tu ndio anaweza kuwa na aina ya wachezaji Fletcher, Oshea, Js Park na akabeba kombe, hakuna kocha mwingne anayeweza fanya ivyo kwa wachezaji wa aina iyo even Mourinho,
Ndio maana sasa hivi Manchester ipo teyari kutumia pounds million 89 kwa mchezaji mmoja, unafikiri jambo hili lingetokea chini ya utawala wa Mzee Ferguson??
Happy April Fools Day
View attachment 489849
tunakuwa wepesi wa kusahau,ferguson mwenyewe timu ilikuwa imisha mshinda mpaka watu wakamshinikiza babu wa watu asitafu-timu imeanza kuharibikia kwa fergusonHuyo alikua Sir Alex tu ndio anaweza kuwa na aina ya wachezaji Fletcher, Oshea, Js Park na akabeba kombe, hakuna kocha mwingne anayeweza fanya ivyo kwa wachezaji wa aina iyo even Mourinho,
Ndio maana sasa hivi Manchester ipo teyari kutumia pounds million 89 kwa mchezaji mmoja, unafikiri jambo hili lingetokea chini ya utawala wa Mzee Ferguson??
Wewe umetokea wapi tena?tunakuwa wepesi wa kusahau,ferguson mwenyewe timu ilikuwa imisha mshinda mpaka watu wakamshinikiza babu wa watu asitafu-timu imeanza kuharibikia kwa ferguson
Tena kwa figisu za refaWewe umetokea wapi tena?
Sir Alex kaicha timu ikiwa bingwa wa EPL, Uefa champions tulitolewa na Real Madrid robo fainali
Hili sio jukwaa la betting
neno langu sio sheriakesho tunasuluhu
nakumbuka baada ya kufungwa na chelsea kwenye Carling cup nilizungumza maneno kama yako wewe kama ni vigumu kwetu sisi kupata nafasi ya nne na tunapaswa tupiganie zaidi EUROPA na nikajaribu kutoa sababu zangu kutokana na mechi zinazotukabili kwenye ligi na EUROPA na nikajaribu kukumbushia changamoto tulizo kumbana nazo tulipokabiliana na wapinzani wetu kwenye mechi za mwanzo, nakumbuka member mmoja anaitwa Inartia yeye pekee ndiye alikubaliana na mawazo yangu ila nashukuru kadri mechi zinavyochezwa na wengine mumeanza kuona ukweli halisi wa timu yetu.Top 4 ngumu wakuu, njia pekee ya kurudi UCL ni kushinda Europa League.