Utamlinganishaje wakati kwa muda mwingi rooney kachezeshwa kama kiungo? Hakua mshambuliaji wa mwisho, alitumika kama daraja la kuwalisha washambuliaji, au hamna kumbukumbu? Laiti kama angechezeshwa kama mshambuliaji wa mwisho, hiyo rikodi ya mabao 250 angekwishaiweka miaka 3 iliopita