Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tuache kupanic mbona wanacheza vizuri tu hiyo penalty yenyewe ukiangalia Jones hajamgusa kabisa lakini ndio mpira, lakini we're playing good wachezaji wanashambulia, wanakaba speed kidogo wameongeza so tusiwe watu wakulaumu kwani hata wenzetu wamejipanga cheki kipa wao yupo fresh but so far so good
 
Wakifungwa bao la pili tegemea wanyeshewe mvua maana itabidi washambulie na hivyo kuruhusu mabao
 
2fb7214eb04c6f088f85282958dea0b3.jpg
 
Tunakosa wachezaji kwenye njaa kama Costa. Joans amekosa confidence kabisa baada ya kusababisha penati. Mechi ni ngumu kwasababu tension IPO juu na refa anaweza kutoa kadi nyekundu zingine kipindi cha pili.

Tukifungwa au kutoa draw Leo, nitaumia sana.
 
Huyu mchezaji Wa Bournemouth aliyemkanyaga IBRA kivhwani atafungiwa mechi kibao kwani angeweza kumwuua
 
Back
Top Bottom