mfarisayo JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 5,160 Reaction score 2,004 Apr 26, 2011 #5,941 Michelle said: At last mzee mzima Giggs kafanya kweli....😛lane: Click to expand... Heri watu wazima kuliko vijana kama diaby
Michelle said: At last mzee mzima Giggs kafanya kweli....😛lane: Click to expand... Heri watu wazima kuliko vijana kama diaby
samirnasri JF-Expert Member Joined Nov 8, 2010 Posts 1,388 Reaction score 215 Apr 26, 2011 #5,942 Wajerumani wamechanganyikiwa baada ya kupigwa 2 za chapchap.
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 26, 2011 #5,943 SirAF said: wamepunguza kelele uwanjani Click to expand... Hapo wapo kwao sio Old Trafford....
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Apr 26, 2011 #5,944 BelindaJacob said: Hongera kwa kuzoea matatizo!! AW tunza vifaa vya CPR mana leo ni salama salimini!!..umeona lakini, tunajiamini kwa sana Maure!!..Hureeee Click to expand... Nitavitunza mpaka Wembley naona, hata hio mechi yenu ya marudiano sitakuja jukwaani kwenu kabisa ni kupoteza mda itakuwa. Walikutana na vilema wenzao Intermilan wakajitesea lol.
BelindaJacob said: Hongera kwa kuzoea matatizo!! AW tunza vifaa vya CPR mana leo ni salama salimini!!..umeona lakini, tunajiamini kwa sana Maure!!..Hureeee Click to expand... Nitavitunza mpaka Wembley naona, hata hio mechi yenu ya marudiano sitakuja jukwaani kwenu kabisa ni kupoteza mda itakuwa. Walikutana na vilema wenzao Intermilan wakajitesea lol.
BelindaJacob Platinum Member Joined Nov 24, 2008 Posts 6,494 Reaction score 4,076 Apr 26, 2011 #5,945 Papizo said: BELINDA mama umeona huko vijana wanavyofanya kazi??? Click to expand... Naona mkuu!!..yani Manure level nyingine Papizo na vijana wanawajibika!!..safii
Papizo said: BELINDA mama umeona huko vijana wanavyofanya kazi??? Click to expand... Naona mkuu!!..yani Manure level nyingine Papizo na vijana wanawajibika!!..safii
Manda JF-Expert Member Joined Sep 24, 2007 Posts 2,071 Reaction score 306 Apr 26, 2011 #5,946 Ehh kumbe Raul yumo umu ndan?
mfarisayo JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 5,160 Reaction score 2,004 Apr 26, 2011 #5,947 Arsene Wenger said: Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol. Click to expand... acha habari zako za ngeli na ngali hapa
Arsene Wenger said: Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol. Click to expand... acha habari zako za ngeli na ngali hapa
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 26, 2011 #5,948 Arsene Wenger said: Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol. Click to expand... Mkuu tuliwaanzia ule mpira ili kuwasoma vizuri.....wametufata sasa itakula kwao haha.......
Arsene Wenger said: Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol. Click to expand... Mkuu tuliwaanzia ule mpira ili kuwasoma vizuri.....wametufata sasa itakula kwao haha.......
BelindaJacob Platinum Member Joined Nov 24, 2008 Posts 6,494 Reaction score 4,076 Apr 26, 2011 #5,949 Manda said: 1st half ilikuwa romance... 2nd half tunakula mzgo kilaaaini.... Click to expand... Hapa mimi hoi Manda!...naona mambo yamejipa,lol
Manda said: 1st half ilikuwa romance... 2nd half tunakula mzgo kilaaaini.... Click to expand... Hapa mimi hoi Manda!...naona mambo yamejipa,lol
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 26, 2011 #5,950 BelindaJacob said: Naona mkuu!!..yani Manure level nyingine Papizo na vijana wanawajibika!!..safii Click to expand... Kabisa yaani vijana wanacheza vizuri sana....maana kipindi cha kwanzatuliwasoma cha pili ni maangamizi
BelindaJacob said: Naona mkuu!!..yani Manure level nyingine Papizo na vijana wanawajibika!!..safii Click to expand... Kabisa yaani vijana wanacheza vizuri sana....maana kipindi cha kwanzatuliwasoma cha pili ni maangamizi
mfarisayo JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 5,160 Reaction score 2,004 Apr 26, 2011 #5,951 Manda said: Ehh kumbe Raul yumo umu ndan? Click to expand... kaingia sasa hivi yeye pamoja na farfan
Papizo JF-Expert Member Joined Feb 24, 2008 Posts 5,249 Reaction score 2,156 Apr 26, 2011 #5,952 Nani anaingia.....kazi wanayo hawa vijana
Monasha JF-Expert Member Joined Apr 2, 2011 Posts 563 Reaction score 423 Apr 26, 2011 #5,953 Morinho aliyatabiri haya kwamba Man atashinda na mtakutana naye na anasema atawafunga. Hongereni Man U.
Morinho aliyatabiri haya kwamba Man atashinda na mtakutana naye na anasema atawafunga. Hongereni Man U.
Manda JF-Expert Member Joined Sep 24, 2007 Posts 2,071 Reaction score 306 Apr 26, 2011 #5,954 Papizo said: Nashangaa hapo wamefikaje kwa mpira huu mbovu wanaocheza alafu nyumbani kwao.... Click to expand... Ni wazur sana Shake...sema wamekutana na dhahama ya litimu bora duniani., kwaio lazima waonekane crap Lol!
Papizo said: Nashangaa hapo wamefikaje kwa mpira huu mbovu wanaocheza alafu nyumbani kwao.... Click to expand... Ni wazur sana Shake...sema wamekutana na dhahama ya litimu bora duniani., kwaio lazima waonekane crap Lol!
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Apr 26, 2011 #5,955 Mechi imepooza utasema ya kirafiki.
Eqlypz JF-Expert Member Joined May 24, 2009 Posts 4,065 Reaction score 651 Apr 26, 2011 #5,956 Arsene Wenger said: Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol. Click to expand... Kwa beki mliyonayo lazima Raul na Edu wangewatundika kama mbili hivi lol!!
Arsene Wenger said: Tungekuwa sisi hawa jamaa tungewapiga nyingi nyie mlitaki kucheza pasi wakati hamzijui lol. Click to expand... Kwa beki mliyonayo lazima Raul na Edu wangewatundika kama mbili hivi lol!!
Michelle JF-Expert Member Joined Nov 16, 2010 Posts 7,631 Reaction score 3,543 Apr 26, 2011 #5,957 Nani in the house....
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Apr 26, 2011 #5,958 Jamaa eti wanawapumzisha ma star wao kwa ajili ya mechi na sisi. lol Jumapili ni kipigo tu tunawapa.
Manda JF-Expert Member Joined Sep 24, 2007 Posts 2,071 Reaction score 306 Apr 26, 2011 #5,959 Kwa wenzangu wenye PC...Mnamuona Wacha1 boy apa jamvn?, sion posts zake, naona anaibia tu.... hahahaha! khekheeeee! hii dozi ya Schalke weeknd tutaipunguza, so usiogope sana kijannn...tutawapa nusu dozi tu...Khekheeeeeee!
Kwa wenzangu wenye PC...Mnamuona Wacha1 boy apa jamvn?, sion posts zake, naona anaibia tu.... hahahaha! khekheeeee! hii dozi ya Schalke weeknd tutaipunguza, so usiogope sana kijannn...tutawapa nusu dozi tu...Khekheeeeeee!
TIMING JF-Expert Member Joined Apr 12, 2008 Posts 31,185 Reaction score 18,201 Apr 26, 2011 #5,960 Wacha1 said: Wakuu vipi hapa nani anafungwa? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Click to expand... wakufungwa weshapigwa 2-0 khe kheee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Wacha1 said: Wakuu vipi hapa nani anafungwa? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Click to expand... wakufungwa weshapigwa 2-0 khe kheee kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee