Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongera kwa kuzoea matatizo!!

AW tunza vifaa vya CPR mana leo ni salama salimini!!..umeona lakini, tunajiamini kwa sana Maure!!..Hureeee

Nitavitunza mpaka Wembley naona, hata hio mechi yenu ya marudiano sitakuja jukwaani kwenu kabisa ni kupoteza mda itakuwa. Walikutana na vilema wenzao Intermilan wakajitesea lol.
 
Morinho aliyatabiri haya kwamba Man atashinda na mtakutana naye na anasema atawafunga.

Hongereni Man U.
 
Nashangaa hapo wamefikaje kwa mpira huu mbovu wanaocheza alafu nyumbani kwao....

Ni wazur sana Shake...sema wamekutana na dhahama ya litimu bora duniani., kwaio lazima waonekane crap Lol!
 
Jamaa eti wanawapumzisha ma star wao kwa ajili ya mechi na sisi. lol


Jumapili ni kipigo tu tunawapa.
 
Kwa wenzangu wenye PC...Mnamuona Wacha1 boy apa jamvn?, sion posts zake, naona anaibia tu....

hahahaha! khekheeeee! hii dozi ya Schalke weeknd tutaipunguza, so usiogope sana kijannn...tutawapa nusu dozi tu...Khekheeeeeee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…