Sijui waliichukulia poa ama vipi?.....Mimi kikosi cha leo hakikunibariki kabisa ndo maana sikukoment chochote,tunashukuru Mungu tumepita .....Wembley kwa mara nyingine
Good thing is kesho nitakuwa live kuangalia Hull akiwafundisha mpira. Pamoja na Mason kuumia lakini hamna uwezo wa kumfunga keshi hata refa akiwabeba na offside goals zenu.