Mkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.
Hakuna club ninayoichukia kama hii club yenu.
Club nyingine nisizozipenda ni Barcelona na Simba ila hakuna ya kuifikia Man U kwa jinsi ninavyoichukia.
Mkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.
Hakuna club ninayoichukia kama hii club yenu.
Club nyingine nisizozipenda ni Barcelona na Simba ila hakuna ya kuifikia Man U kwa jinsi ninavyoichukia.
Bora hivi tulivyokuwa wamoja nyumbani...kumbuka nyumbani ndio zaidi kwingine tunaiga/kujipendekeza tu.
Huwa nawashangaa sana wanaotuponda tunaoshabikia mpira wa nyumbani.
BTW hivi jana mikia matokeo yao vipi?Sina khabari kabisa
Mkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.
Hakuna club ninayoichukia kama hii club yenu.
Club nyingine nisizozipenda ni Barcelona na Simba ila hakuna ya kuifikia Man U kwa jinsi ninavyoichukia.