Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Una kaupenzi na hii timu ila unajilazimisha tu kwenda huko kwingine....nyumbani ni nyumbani tu
Mkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.
Hakuna club ninayoichukia kama hii club yenu.
Club nyingine nisizozipenda ni Barcelona na Simba ila hakuna ya kuifikia Man U kwa jinsi ninavyoichukia.
 
Mkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.
Hakuna club ninayoichukia kama hii club yenu.
Club nyingine nisizozipenda ni Barcelona na Simba ila hakuna ya kuifikia Man U kwa jinsi ninavyoichukia.

Iko ndani ya Moyo wako.
 
Bora hivi tulivyokuwa wamoja nyumbani...kumbuka nyumbani ndio zaidi kwingine tunaiga/kujipendekeza tu.
Huwa nawashangaa sana wanaotuponda tunaoshabikia mpira wa nyumbani.

BTW hivi jana mikia matokeo yao vipi?Sina khabari kabisa
Ilikuwa suluhu bado pointi mbili tunawafuata tartiibu
 
All the best
 

Attachments

  • IMG-20170120-WA0021.jpg
    84.9 KB · Views: 47
Manchester United wanauwezo wa kumrudisha Depay kwa paundi milioni 16 tu baada ya miaka mitano
 
Mkuu nitakuwa wa mwisho kuipenda Man U.
Hakuna club ninayoichukia kama hii club yenu.
Club nyingine nisizozipenda ni Barcelona na Simba ila hakuna ya kuifikia Man U kwa jinsi ninavyoichukia.
Kunywa sumu upone ugonjwa wako
 


Hebu tusaidiane kujibu hili swali aisee...


Just Joking.....
Manchester United's "Next Ronaldo':
Nani (Failed)
Valencia (Failed)
Young (Failed)
Anderson (Failed)
Bebe (Failed)
Morrison (Failed)
Obertan (Failed)
Macheda (Failed)
Januzaj (Failed)
Zaha (Failed)
Depay (Failed)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…