Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Huyu ndugu tulikubaliana panapo majaliwa tuonane leo ila cha ajabu hajatokea na muda unakwenda.Eeh halafu nilitaka kusahau everlenk (first lady )na sister angalieni kipimo chenu leo hatutakuwa na wageni wengi pia kutupa chakula si jambo jema wengi wana kitafutaJumapili hamtoki aisee... Msijipe moyo!!! Game ya leo mmeshinda ila mmecheza vibaya mno
.
.
.
Ingekuwa ni dhidi ya Klabu ya EPL tungezengumza mengine.
Bora tumeshinda, maana suluhu zilishaanza kutuzoea.Domourinho magumashi
Wageni leo wanapita karibu na geti wanavua viatu na kunyata ili tusiwasikie kabisa!Huyu ndugu tulikubaliana panapo majaliwa tuonane leo ila cha ajabu hajatokea na muda unakwenda.Eeh halafu nilitaka kusahau everlenk (first lady )na sister anagalieni kipimo chenu leo hatutakuwa na wageni wengi pia kutupa chakula si jambo jema wengi wana kitafuta
Hahahahahahhaaha kaka leo watakula tu wapende wasipende hata nyumbani kwao tutawapelekea!!!!Huyu ndugu tulikubaliana panapo majaliwa tuonane leo ila cha ajabu hajatokea na muda unakwenda.Eeh halafu nilitaka kusahau everlenk (first lady )na sister anagalieni kipimo chenu leo hatutakuwa na wageni wengi pia kutupa chakula si jambo jema wengi wana kitafuta
Get well soon Mik you know what i need you so much!!!I hope injury ya micki sio kubwa ya kumuweka nje mda mrefu dah majanga haya.
Khalafu kumbe na huku tupo pamoja basi tukutane kuleMikhi na Rojo wamepiga kazi sana leo
Vilema mkimpiga spurs itakua merudi rasmi
Naona mmerudi. Hongereni kwa ushindi next gem spurs.
Nakumbuka sisi enzi za babu ndio ilikuwa kazi yetu hiyo mpaka mpira uishe ndo ujue umetufunga sasa haya mambo ya kusawazishiwa jioni yalinikumbusha mbali ila Munich hawawezi kusahau 99Bora tumeshinda, maana suluhu zilishaanza kutuzoea.
Huyu ndugu tulikubaliana panapo majaliwa tuonane leo ila cha ajabu hajatokea na muda unakwenda.Eeh halafu nilitaka kusahau everlenk (first lady )na sister anagalieni kipimo chenu leo hatutakuwa na wageni wengi pia kutupa chakula si jambo jema wengi wana kitafuta
You are right.I think man of the match ni Marcos Rojo
Nyakati ngumu hazipiti ila watu wagumu wanapita.Nakumbuka sisi enzi za babu ndio ilikuwa kazi yetu hiyo mpaka mpira uishe ndo ujue umetufunga sasa haya mambo ya kusawazishiwa jioni yalinikumbusha mbali ila Munich hawawezi kusahau 99
Nunueni karatasi basi maana kufungashiwa hawajazoea walikuwa wanakuja kwetu sasa tukilazimisha wanaweza kusema chakula tumekifanyia mambo.Hahahahahahhaaha kaka leo watakula tu wapende wasipende hata nyumbani kwao tutawapelekea!!!!
Asante sana..... jana malaika aliachia tatu leo kaachia single but heavy kwa timu za leo!!!..... ohhhh!!! Kipofu tena!!.... nyani walichekana barabarani wana mikia.
Kipofu kaona mwanga.
Sikuhizi timu yenu imekuwa ya Ka'goli kamoja kamoja..
BTW. Ongereni kwa Ushindi. Ila haimaanishi kuwa ndio mmeanza ligi sasa..
Mambo yamebadilika kutoka hatuchomoi j pili mpaka ushindi wa kagoli kamoja ?kifupi uliiamini sana tot kuliko kuamini ila tunashukuru kutupongeza nasi tunasema ligi inapamba moto pamoja sana ndugu yangu.
Kipofu kaona mwanga.
Sikuhizi timu yenu imekuwa ya Ka'goli kamoja kamoja..
BTW. Ongereni kwa Ushindi. Ila haimaanishi kuwa ndio mmeanza ligi sasa..
Acha kabisa kaka leo nina furaha kubwa sana, siyo kwa simango zile watu tumetishiwa jumapili inakuja mpka basi !!!!! .... kila kona jumapili hiyoooo!!!!..... aaaahhhh jamani jumapili si ndo leo mbona mnajikaushaaaaaaa!!!!Mambo yamebadilika kutoka hatuchomoi j pili mpaka ushindi wa kagoli kamoja ?kifupi uliiamini sana tot kuliko kuamini ila tunashukuru kutupongeza nasi tunasema ligi inapamba moto pamoja sana ndugu yangu.