Manchester United (Red Devils) | Special Thread

picha za vikos zibadilishwe hapo juu za zaman sana

Hapana,

Zibaki hivyohivyo, zinatukumbusha kule tulikotoka. Tunaishi kwa historia, Mwaka wa nne huu unaenda bila SAF, na bado hatujapata kikombe cha EPL.

Tukiangalia picha hizo, Makombe, Vikosi Mameneja nk, Vinatupa mzuka na kutamani kule tulikotoka kiasi cha kupigania Mafanikio yale ya hapo awali.. na kwapamoja kwaimani Yatarudi.

Msingi unaanza kujengwa taratibu pale OT hii ni mechi ya nane tunacheza pale bila kufungwa home. ninahakika kipindi cha mafanikio kinakuja na hakiko mbali..

GGMU GGMU GGMU GGMU
 
To be honest, sioni haja ya Antoine kuja OT. Nafikiri United haihitaji mchezaji kama yeye; mbona wapo wengi OT?
 
mourinho ataacha timu yenye nguvu sana naona sasa wameanza kumuelewa na falsafa yake old traford unaanza kuwa uwanja mgumu sana sifa ya mou hiyo



kweli anamuaanda mik
Nitamlaumu fergusona mpaka kesho kwanini aliiacha Man U mbovu kiasi kile mpaka kufikia makocha kutolewa kafara
 
Wakati anastaafu alichukua ubingwa na hiyo timu unayoiita mbovu
Tena angekuchukua miaka miwili mfululizo kabla ya kutuacha tatizo likatokea game ya Everton tunaongoza 4-2 jamaa wakachomoa ndio kilitokea tukakosa ubingwa moyes karithi timu ikiwa bingwa.
 
Wakati anastaafu alichukua ubingwa na hiyo timu unayoiita mbovu
Ni mbinu na ujanja tu ndio vilimfanya achukue ubingwa lakin timu tayari ilishajifia we kutoka 4-2 mpaka 4-4 tena tunaenda pigwa bao la 5 refa anamaliza mechi kutuzibia aibu kubwa iliyokua inakuja.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…