Pamoja na hii draw,natoa shukran zangu za dhati kabisa kwa mourinho kwa jinsi alivyopanga kikosi na tactics za mchezo. Kuwafanya hivi arsenal kwenye form waliyokuwa nayo sio jambo la kitoto. Timu imepata momentum nzuri na fear factor kwa timu pinzani imerudi. Watu wanasema mata haina kilevi,mbona arsenal wanalewa?