Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

19548675f0e80a8a462d6d38641b5d2e.jpg
248ebd829cc37ae57150f75bb2c8a817.jpg
4d677d1304416b56318d7c5fbf472f93.jpg
9ee2f6ce8e990f3042d009608bef3886.jpg
e9a22887b97ff2b52461a3e077ea8192.jpg
a765c53465efb7ade45a5257fc06b41f.jpg
 
Niwaambie tuu kwa sasa arsenal ni kati ya timu ambazo ukikutana na ukitoka salama shukuru Mungu tena shukuru haswa
 
Tukielekea kwenye mechi ya Manchester Vs Arsenal kuna habari nyingi zinatokea. Moja ya habari kubwa ya leo ni kuhusu Wenger alivyomzungumzia mchezaji Rashford.

Akizungumza kwenye press kuhusu kikosi cha Manchester united, waandhishi wa habari walikua wana hamu ya kujua maoni ya Wenger kuhusu kutokuwepo kwa Zlatan. Lakini tofauti ya mategemeo Wenger alisema sema kwamba kwa Man United hatari haipo kwa Zlatan.

Arsene Wenger asema kwamba hatari ipo kwa kijana wa miaka 19 Marcus Rashford. ,“Tusisahau mwaka jana, kijana aliyetuua ni Rashford”. Kwa sentesi hiyo Wenger alionyesha kwamba wasi wasi wake haukua sana kwa Zlatan zaidi ya Rashford.


WASHALOA TAYARIII
 
Back
Top Bottom