Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongera kwa ushindi, kiroho safi lakin.
 

Hiyo ni baada ya kusikia watu wakisema...
Pigaaaa Mbwaaaaaaaaa..!

*Conte sio mtu wa mchezo-mchezo
 
Kupata au kukosa yote ni matokeo.....Leo tulishindwa .... lakini maisha bado yanaendelea na yanapaswa kuendelea..... Glory Glory Manchester United.
Pole, mtu akifingwa huja na kila aina ya maneno swithrt...pole sana swthrt
 
Herrera deserves to be in the 1st eleven for every match in the league and Europa. It is Fellaini who should be benched for Bastian or Michael..
Sawa kiongozi, lakini lazima atawaangukia wakongwe. When things go wrong, the old could turn gold!!
 
Haya Masuala Ya Kurudi Utokako Ni Mbaya Sana.

1) Guadiola karudi Camp Nou kala 4

2) Van Parsie karudi Old Trafford kala 4

3) Mourinho na Mata wamerudi Stamford bridge wamekula 4
 
Wanasema ukitaka kujua mama yako hajui kupika au anajua nenda kale kwa jirani yako

Sasa mtakua mmejua kua nyinyi ni vibonde
 
Maana halisi ya KIBONDE yaani kimteremko poromoko kulee chini kabisa maji yanapojaa hahaha VIBONDEE MPOOOO!!!?
 
Pore, mwaya pole. Maumivu ni haki, kulia ni haki na kutokwa na machozi ni haki.
Dhambi ya kumfukuza LVG wakati alianza kujenga kikosi poa inaanza kuiadhibu Man. disunited.
Asante sana nishapoa tunaanza kwa upya na New week.....
dhambi
?.....anyway muda wake uliisha....mtafutaji hachoki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…