Piga Mbwa
Atakuwa amebeti...Mou kauza mechi kwa mahaba ya timu aipendayo
Wacha maneno maneno wewe...Mou kauza mechi kwa mahaba ya timu aipendayo
Namba kumi iyo kumbuka yeye anamtegemea fella kupata mipira huyo fella sasa daaahhuyu Pogba anafanya ujinga tu
Mata ana thamani ndogo sana kwa kocha wake.Huwezi kueka Mata bench ukachezesha kina Lingard na Pogba halafu ushinde bana...ni dharau!
Toka lini..!?Bosi huku kwenye majukwaa ya michezo hatutumii lugha hizo
Ndugu yangu nipo hapa kwa ajili ya kukupongeza...3+4+3= 2:0
Huu mfumo safi sn kwa Mara ya kwanza unafanyiwa majaribio na ManU chali
Namba kumi iyo kumbuka yeye anamtegemea fella kupata mipira huyo fella sasa daaah
mou kabeti waziwazi
Hiyo number angecheza Mata ingekua poaNamba kumi iyo kumbuka yeye anamtegemea fella kupata mipira huyo fella sasa daaah
mou kabeti waziwazi
Kwa hio ww unajua mpira kuliko mourinho.kufungwa kufungwa tu si lazima mshinde nyieHuwezi kueka Mata bench ukachezesha kina Lingard na Pogba halafu ushinde bana...ni dharau!