Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Waliokuwa wanamsema mourinho vibaya hawajui soka namshukuru kwa kuwaweka fit wachezaj kuanzia game ya liver tungefungwa morali ingepungua na kujiamini na siku zote red devils anapokuwa na ratiba ngumu huwa hapotez mech kizembe.
 
Kwendraaaa!!! Ndo tumeshainuka H ivyooo tushasafisha nyota[emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133] [emoji133]

Kusafisha nyota yenu ni sawa na kusafisha mikono ya nyani, baada ya muda anaitumia kutembelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…