Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hawa Chelsea nao wanaanza kuwa kama Arsenal......:bored::bored:


Wana timu nzuri sana hawa lakini upangaji wao ndiyo dhaifu. Sioni sababu yoyote ya Drogba, Malouda, Anelka na Kalou kutoanza pamoja maana ni tishio kwa ngome ya timu yoyote ile duniani.
 
Leo staili yangu ni kimyakimya...

Mbona unaanza woga mapema, nasubiri mguu wa Wine Romney, Nani, Vidic, Ferdinand na Hernandes ivunjike khe khe khe kheeeeeeeeeee
 
:angry: wanacheza vizuri ndo maana nataka wavunjwe miguu watoke nje....l.o.l

Ohhh nikajuwa wewe mwenzetu kumbe mgeni bana hahaha....haya basi tupe support na sio kutuponda bana....
 
halafu weweee.. nikikukamata!

angalia kandanda hilo sio wale watoto wenu ambao wana allergy na makombe

:redfaces::redfaces: naomba tu ukinikamata usiniaibishe kama Gbagbo....please.....!!

leo honestly naona kandanda ya ukweli.....sisi Arsenal hadi mwakani tena:hug:
 
Hiki kitoto kinapenda sifa nacho. Kutwa kiko mbele ya goli kusubiri kuunganisha kana kera sema ndio u-striker makini huo.
 
Endeleeni kupiga kelele....sisi tunakandamiza.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…