Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haibadilishi ukweli kwamba ni aibu sio
 
SHAME to MANU. What the heck is this???
Yes shame to us !!! Congrats to you ambao mlipigwa nne...... hivi Furaha yenu mlitegemea tufungwe.?.... kumshinda adui yako ni kumjua na ukishamjua namna ya kumkabili ni tayari kumshinda so mlitaka tuwaachie wafunge nyie vipi? Wangekuwa wakali wasingekubali tuwachezeshe game tunalotaka sisi!
 
Ni kweli hasa ukizingatia waliwapiga nne kwenu!
For sure ilikua 4-3 so far ongeza kasi walau uwe unashinda usogee sogee nafasi ya 7 na 2 kuna gape kubwa sana hapo jitahidi kaka next game nampiga middlesbrough wakati huo unapigwa au kudraw tena na chelsea af BOLD GUNNER tunasogea kwa speed ya light
 

pamoja na posses yetu kuwa chini cha ajabu shots on target wametuzid moja tu...... ina maana wao walikua wanaona raha tu kupasiana
welcome Old Traford
Hahaha kuna mmoja kule kanichekesha eti its shame kutumia live score!!!,nawauliza km pass na ball possession ni deal watuulize sisi wakati wa LVG tulikuwaje??......... hakuna wonders yoyote waliyoifanya zaidi ya pass na possession tu
 
Mbona hamkushinda kama kweli walikubali
 
For sure ilikua 4-3 so far ongeza kasi walau uwe unashinda usogee sogee nafasi ya 7 na 2 kuna gape kubwa sana hapo jitahidi kaka next game nampiga middlesbrough wakati huo unapigwa au kudraw tena na chelsea af BOLD GUNNER tunasogea kwa speed ya light
Mngetuzidi point kama kumi sijui ingekuwaje???? Kina Sheikh Yahaya tumewazoea kutabiri sasahivi muwe mnaturudishia chenji Zetu.......
 
Hahaha kuna mmoja kule kanichekesha eti its shame kutumia live score!!!,nawauliza km pass na ball possession ni deal watuulize sisi wakati wa LVG tulikuwaje??......... hakuna wonders yoyote waliyoifanya zaidi ya pass na possession tu
Sasa huyo punguani alitaka tutumie nin kujua statistics.....walichokipata wao kwenye kuuchezea mpira ndio tulikipata sie kwa van gaal then at the end hakuna matokeo chanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…