Manchester United (Red Devils) | Special Thread

“They are really world-class players,” Klopp told liverpoolfc.com. “They really know about football, they are experienced and they are cool in the right moments.

“They don’t need a world-class performance to win a game, that’s the biggest difference between experienced and less experienced teams.”
 


naona zile nne za liver bado zinakuletea mauza mauza naona mmeungana sasa kuna msemo "ukishindwa kumpiga ungana nao" naona unautumia vizur
 
Kila la heri Man Utd leo, kama kawaida tukiwa tunacheza na matawi yetu tunakuwa tunajipigia tuu

Yes Liverpool ni moja ya tawi letu

GGMU
 
Ahaa kumbe tunabishana na makinda humu Nenda kanyonye ukikuwa utajua Liverpool na Man United ni nini. Acha ishabiki wa kinazi Nazi
 
Kama mdau mmoja alivyosema hapo juu hii ni match ya Ushindi kwa Man U, Liverpool ni wazuri lakini si mbele ya United, hata tukiwa na performance mbovu mara huwa tunapata matokeo chanya kwa Liverpool.

Falsafa zimebadilika msimu huu chochote kinaweza kutokea lakini Man U ana nafasi though Liver nikiri wapo kwenye kiwango cha aina yake kwa sasa
 
Muda hakimu wa haki wanasemaga kila la kheri manchester yangu msinifanye nilale vibaya leo
 

Man United wana experience lakini Liver hawana
 
Ahaa kumbe tunabishana na makinda humu Nenda kanyonye ukikuwa utajua Liverpool na Man United ni nini. Acha ishabiki wa kinazi Nazi
Lini me nimekaa nikabishana na wewe??? Umeanza kushabika mpira 1970 or 1980 nani inamhusu hapa??? Tuliza mshipa ufikirie wanao wanakula nini kesho acha kusumbua raia.
 
Gem lain hii liver fool wanakufa 2 kabla ya dk 45 kadbla anatupia 1
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…