Sasa mkuu Mou ana kosa gani Pale!!?
Hii droo Mou hata haingii kwenye lawama
Kuhusu ligi kutushinda sio shida kwangu ila leo nimesha kubaki hilo
Namsapot mourinho.
Leo tumecheza vizuri kila sehemu kasoro umaliziaji na kipa wa stoke alikuwa vizuri ana stahili kusifiwa
Mou hana kosa. Nimeandika sehemu kuwa Mou ametenda makosa?
Mbinu za Mou zinajulikana. Basi ameli-park Daraja bovu, London na hajapata dereva wa kulileta Manchestfer. Likifika hilo ndio mtafurahia kuvuna points 3 hapa 3, pale.
Mimi namsapiti Mou napenda kucomedy zake(match press conferences zake). Pia anajua kununua mafanikio.
Nikumbushe. Hivi ametumia paunds milioni ngapi kununua wachezaji msimu huu?
Chief Herrera sijui yuko wapi leo na Everlenk bila kumsahau Sister heeee heeee....Stoke wana bahati sana naikumbuka assist ya Depay pale Britania msimu uliopita
Ahaaaa! Kumbe Ubora wenu Munaangalia Positions na Chance Hewa???
Haya Nyie Weledi Wa Soka Jipimeni Kwa Chance Hewa! Wacha Wengine Wajitume Kwa Kutupia.
Mou hana kosa. Nimeandika sehemu kuwa Mou ametenda makosa?
Mbinu za Mou zinajulikana. Basi ameli-park Daraja bovu, London na hajapata dereva wa kulileta Manchestfer. Likifika hilo ndio mtafurahia kuvuna points 3 hapa 3, pale.
Mimi namsapiti Mou napenda kucomedy zake(match press conferences zake). Pia anajua kununua mafanikio.
Nikumbushe. Hivi ametumia paunds milioni ngapi kununua wachezaji msimu huu?
Chief Herrera sijui yuko wapi leo na Everlenk bila kumsahau Sister heeee heeee....Stoke wana bahati sana naikumbuka assist ya Depay pale Britania msimu uliopita