Point tatu safi lakn mpira huu its not our class combination ya pogba na fella ni worse fella anamchosha jamaa tu yaan mpk ibra,mata wanakuja nyuma kufuata mpira damn
Hahahahaha Wakereketwa na mliokunywa maji ya bendera mbona mnanipa shaka. Imani na Matumaini kama vile yanayeyuka mechi hadi mechi... Mourinho atawabadili katika ligi vs Stoke.
Point tatu safi lakn mpira huu its not our class combination ya pogba na fella ni worse fella anamchosha jamaa tu yaan mpk ibra,mata wanakuja nyuma kufuata mpira damn
Hahahahaha Wakereketwa na mliokunywa maji ya bendera mbona mnanipa shaka. Imani na Matumaini kama vile yanayeyuka mechi hadi mechi... Mourinho atawabadili katika ligi vs Stoke.
Timu haijacheza vizuri leo...tatizo ni ego za Mourinho...combo ya Fellaini na Pogba haifanyi kazi...kama lengo lilikuwa kumpumzisha Herrera basi Pogba angecheza na Carrick au Morgan...Fellaini anamnyima uhuru Pogba...it is that simple.
Ngoja tuone atakavyopanga timu weekend...maana hachelewi kumwanzisha Rooney kisa katoa assist leo...Rooney sasa anapaswa awe role player...
Point tatu safi lakn mpira huu its not our class combination ya pogba na fella ni worse fella anamchosha jamaa tu yaan mpk ibra,mata wanakuja nyuma kufuata mpira damn
Egos zake zitamuondoa kwny timu kama lvg alivoondoka kwa fedheha kwa man u ya sasa hkn kuoneana aibu watu wanataka vikombe tu thts all tuna mafundi kibao tunashindwa hata kucheza sexy futball damn!!
Point tatu safi lakn mpira huu its not our class combination ya pogba na fella ni worse fella anamchosha jamaa tu yaan mpk ibra,mata wanakuja nyuma kufuata mpira damn