UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Kweli ndio maana moyes alitoka alikotoka na cv inayofanana na mou akaja manure hahahaYes. History ya Moyes Everton unaijua? Nani aliyeipa mataji Chelsea na kuifanya iheshimike? Nani aliipa UEFA title Inter Milan? Nani aliaminiwa na kupewa club kubwa kama Real Madrid na kuifikisha semi final za UEFA? Hivi kuwacoach kina CR7, Ramos, Luke Modr, ni rahisi? Acha kabisa Mou sio viwango vya kina Wenger sijui wa top 4 kila msimu.
NtakutafutaBaada ya kumuombea njaa chelsea hatimae yametimia. . naona nafasi ya kusogea juu ileee tumeipata. . namuonea huruma anayefuatia epl maana tuna hasira kama nyati aliyejeruhiwa
Ur welcome. ..Ntakutafuta
Baily n mzee wa kazi
Hahahahah Swahiba nashukuru kwa pole kwa kweli nimetulia sasa maana msiba ulikuwa mzito sana,haya nimepata maono eti Hilo jamvi leo tunalikalia kwako........ sasa nimeenda Mkulanga kuchukua kabisa Nazi ili tusikose angalau uji siku ya leo,tulie lakini uji uwepoI miss u so much swahiba ni muda hatujakaa tukajadilinilikuja na jamvi jana nimelia sana hapa msibani ila sauti ya kike ilikua ya sister tu nikapata shaka kuhusu wapi ulipo naomba nikupe pole lundo swahiba.
Baily n mzee wa kazi
Hahahhahaha haya bana Hata Sheick Yahaya alitabiri, amaaaaaa!!! Safari hii umempa nafasi JogooHull, Majogoo ya Malafyale, Watford, Everton, Tottenham.
Nasikitika kukutaafifu kwamba si timu yako wala ya jirani zako itatwaa ubingwa msimu huu.
Sheikh Yahya alishamaliza kazi yake na aliondoka. Aliondoka na vifaa vyake vya maabara kama vile vya mamlaka ya hali ya hewa. Utabiri wa hali ya hewa. Utabiri ni kazi, ni taaluma ya watu. Mimi sina taaluma hiyo. Msimu ndio umeanza na kwa namna ambayo Mou amejaribu kuwapa matumaini ni jambo jema kumpa sapoti ili awatumbue.Hahahhahaha haya bana Hata Sheick Yahaya alitabiri, amaaaaaa!!! Safari hii umempa nafasi Jogoohaya sisi tupogo na Mou wetu ngoja tumpe sapoti tu.
Mwenyew nashangaa humu kumepoa ngoja tufungwe sasa ilo balaa lakekapigwa chelsea mashabik wa aseno,liverpool na wale waliokat walio hamia man city wapo kimya ngoja klabu kubwa ifanye vibaya wanafarakana utaaona humu mara mbili mbili nimeamini manchester united ni brand kubwa na moja ya club kubwa na yenye nguvu watu wana wivu balaa karibuni huku kwenye mti wenye matunda.
Hata Messi, CR7,Neymar,Muller anaweza kuja
Hahahahaha Mtani Serious kabisaaa maana Nyangema wetu hapumui kwa Maneno yenu khaaa!!!Mtani hapa ulikuwa serious ama vidole viliteleza tu kwenye keyboard? ??
Ili apumue turudishieni the next CR7 (depay)wetuHahahahaha Mtani Serious kabisaaa maana Nyangema wetu hapumui kwa Maneno yenu khaaa!!!
Sio man uhawa jamaa wanaocheza na man city wamechukua kakirus toka aseno kanachomesha balaa