bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
Maskini we Pogba unaniudhinisha
Leicester city si walinunua player kwa million 86miln au 50miln siowanacheza uefa na wamechukua ligi sasa sijui hoja yako ni ipi
Cc rubaman
Hujajibu swali na unatoka nje ya hoja yako
Mbona hapahapa panatosha fresh kabisa......weka grup mkuu au kama lipo naomba unijilushe niweze kuwa na wanaunited plllllzzzzz
Kivp kakaHaa haa niliona mechi yenu jana shekh, kweli mpira bahati
Walipigiwa mwingi mnoo, ila baadae wakaondoka na point 3Kivp kaka
Umeona eeeehWalipigiwa mwingi mnoo, ila baadae wakaondoka na point 3
Yani wanaumia mpaka wanatamani kufa ila hawafi cha moto wanakiona........Alafu kuna watu tukitoa £89 kwajili ya mchezaji wanaumia, Lol
Man cityYani wanaumia mpaka wanatamani kufa ila hawafi cha moto wanakiona........
That got bitten MAN CITY with that special coacherWe are United!
Kafanyaje?Man city
We nenda kamshangilie Asano Tak... wenu @ team wengeroutThat got bitten MAN CITY with that special coacher
We nenda kamshangilie Asano Tak... wenu @ team wengerout
mzee wa carbon 14 since 2004