Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ahahaaaah...
Wewe ni zaidi ya MWEHU..!
 
 
Mourinho alikorofishana na wachezaji wake akiwa Chelsea last season kwa sababu hii hii. Actually kulaumu wachezaji wa upinzani na marefa, pitch, weather hadharani ni jambo la busara kuliko anavyofanya Mourinho.
Wewe unachekesha. Kulaumu watoto wangu hadharani si sahihi ila kulaumu watoto wa jirani hadharani ni sawa. SYFH!
 
 
Mkuu,uliwahi kufanya nae kazi popote pale??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…