Hivi ni kweli hauelewi KISWAHILI au unajitoa UFAHAMU tu..!!!?
Amesahau kuwa Fellaini alistahili red for repeated nasty fouls
Mwamuzi alichezesha vizuri sana
Kwa kifupi mlizidiwa kila idara kasoro kipa tu
Kun Aguero angekuwepo leo mngekula 4
Ahahaaaah...utaongea kila aina ya lugha hizo ni kauli za ma under dog humu jipange haswaa tunahitaji kubadilishana mawazo na wakina barcelona,buyern,real madrid sasa wewe city hata nottingham forest kumpangua inshu unazama google unakuja na picha za ma player huijui hata origin ya city alooo nakuonea huruma
Nikukumbushe tu hili jukwaa ni la mpira wa miguu sio mpira wa mikono kwa ulichokipost hapo inadhihirisha mpira hauujui ndo mana ukapost de brune kamkaba pogba.
de bruine ndio nani..?de bruine kamkaba pogba sio!!!!
Ahahaaaah...
Wewe ni zaidi ya MWEHU..!
Once, red and always red we had our chances at second half but we were not lucky enough to take em mistake happened n that makes the coach better coz another time he will make a good line up in order nat to repeat what happened today
Manchester is
maji ya shingo dogo kizur hapa ni kwa wakubwa unatoka kwenye reli taratibu
de bruine ndio nani..?
Wewe unachekesha. Kulaumu watoto wangu hadharani si sahihi ila kulaumu watoto wa jirani hadharani ni sawa. SYFH!Mourinho alikorofishana na wachezaji wake akiwa Chelsea last season kwa sababu hii hii. Actually kulaumu wachezaji wa upinzani na marefa, pitch, weather hadharani ni jambo la busara kuliko anavyofanya Mourinho.
Kwa hali huwezi kuisaka history na lazima upagawe tu hakuna namna kwako ni vitu adimu hili jukwaa ukija jipange kweli sio unakuja na timu zako za kuzuka kama uyoga
View attachment 397743
Hivi ni kweli hauelewi KISWAHILI au unajitoa UFAHAMU tu..!!!?
utaongea kila aina ya lugha hizo ni kauli za ma under dog humu jipange haswaa tunahitaji kubadilishana mawazo na wakina barcelona,buyern,real madrid sasa wewe city hata nottingham forest kumpangua inshu unazama google unakuja na picha za ma player huijui hata origin ya city alooo nakuonea huruma
View attachment 397757 Wewe KIANDE ni De Bruyne sio de bruine..!
Wewe unachekesha. Kulaumu watoto wangu hadharani si sahihi ila kulaumu watoto wa jirani hadharani ni sawa. SYFH!
Mkuu,uliwahi kufanya nae kazi popote pale??Teh teh teh teh teh teh! Niliwaona Watu Wa Ajabu Sana Pale Mulipofurahi Kuwa Morinho Kateuliwa Kocha Wenu!!
Kwasisi Tunayemjua Mourinho Tulijua Wazi Haitafika Xmass Bali Mutaomba Atimuliwe!
Leo Mushakula 2 hizo...
Man City You Have Made My Day! Congrat.....