Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Wakaanga sumu utowaona uku tena.
 
uko sahihi mkuu....hasa kwenye kiungo na mbele...nimependa sana pogba anavyo miliki kiungo..anavyogawa mipira na jinsi alivyo stable na nguvu pia!!

Nadhani smalling inabidi ajiulize mara mbili kuhusu namaba yake pale nyuma
Uzuri wa Mau akishajua tu first eleven yake ndo hiyo hiyo hadi mwisho.siyo kama kina LVG hawajui first eleven zao
 
uko sahihi mkuu....hasa kwenye kiungo na mbele...nimependa sana pogba anavyo miliki kiungo..anavyogawa mipira na jinsi alivyo stable na nguvu pia!!

Nadhani smalling inabidi ajiulize mara mbili kuhusu namaba yake pale nyuma

Kama...smalling...atakuwa..vizuri...kama..last.season..basi..Blind...anakazi...
 
His future is uncertain at Man Utd.
Blind..hawezi..uzwa..msimu...huu...labda...apatikane....backup....ya..smalling...na..Baily...kuna..tetesi...tunahusishwa...na..Fonte...ambaye..31 old...wakati..Blind..ni..26 sasa
 
Ibra ni man of the match ... mechi mbili mfululizo sasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…