Mshambuliaji wa Real madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Karim Benzema amekamilisha uhamisho wake wa pounds millioni 70 na kujiunga na klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza,ili kupata vichekesho vingine kama hiki tuma neno WENGER kwenda 15528
Alikuwa de gea na sasa ni Bailly kuwa mchezaji bora wa mechi mfululizo. Ili man utd kubalance inahitaji man of the match wawe viungo na washambuliaji zaidi. Ni mtizamo tu wakuu.
Mshambuliaji wa Real madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Karim Benzema amekamilisha uhamisho wake wa pounds millioni 70 na kujiunga na klabu ya Arsenal ya nchini Uingereza,ili kupata vichekesho vingine kama hiki tuma neno WENGER kwenda 15528
ila bado rooney hanifurahish kabisa kama vipi ajaribu kuwa anaanzia bench ili watu wajaribu kucheza namb me naamn watacheza vizur kuliko yeye, mak au matial wacheze nyuma ya kadabra