Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu hata SAF alikuwa ana sajili kwa pesa nyngi pia
Halaf mambo yamebadilika kama sterling aliuzwa ja £50 milion
Pogba auzweje!!?
Ndio maana anayejali bei mzee wenger hanunui kabsa (ndo suluhisho hilo kama hutaki ku spend)
Halafu poga mpaka mwakani pesa ya mauzo ya jezi tuu utakuwa isha rudisha faida

Ndo mpira usha badilika hvo, na tuna badilika nao
 
Beki ghali duniani alikuwa rio ferdinand unajua nani alimsajili?
 
Manchester imesajili sharobaro kwa thamani aliyopewa na usharobaro alionao akiwa uwanjani sijui yangu macho
Uoga wako ndo umasikini wako wataalamu hawajamwangalia pogba kwa msimu huu tu

Man Utd need to build around a group of young hungry players like Martial, Lingard, Rashford and Pogba is the one to lead that group from the front - the only way he would want it.

Good luck Paul

Rio

#Pogback #mufc #juventus #pogba
 

Kitu cha msingi ni klabu inaingiza fedha nyingi mpaka inaweza kumnunua mchezaji kwa hiyo hela.Bei ya Sterling na Mangala (49+42=£91m wote magalasa) ni kubwa kuliko aliyonunuliwa Pogba

Naskia mnakaribia kumsajili legend wetu John Evans
 
Kitu cha msingi ni klabu inaingiza fedha nyingi mpaka inaweza kumnunua mchezaji kwa hiyo hela.Bei ya Sterling na Mangala (49+42=£91m wote magalasa) ni kubwa kuliko aliyonunuliwa Pogba

Naskia mnakaribia kumsajili legend wetu John Evans
Raheem sterling... Kiku*du juu... Natania tu
 
Pogba kawaumiza sna kila siku wanaiombea manchester united iwe kama liverpool kila mmoja mshaur wa matumiz ya pesa za manchester united mwingine hana kiwango hicho alupokuwa juve kila mmoja bonge la mchezaji anaenda manchester hana kiwango ed alishatamka hataki kuona manchester united ikiendelea kuwa na wachezaji wa kawaida anataka level za kidunia
 

Beki ghali duniani alikuwa rio ferdinand unajua nani alimsajili?
Kwanza itabidi ujitoe ufahamu ukitaka kuongea/kubishana na mashabiki wa arsenal masuala ya transfers, hasa ukija upande ya ada za uhamisho, wanachoamini wenyewe na mzee wao wenger ni kwamba CL bado inamata kumshawishi mchezaji kujiunga na club flani wamesahau mpira wa sasa ni pesa.

Higuain miaka 28 kwenda juve kwa £75mill its ok but pogba miaka 23 kwenda utd kwa £89 mill is overpriced and overrated.

No wonder wanasajili akina takuma.
 


Hawa watu wa ajabu sana mkuu walikesha humu kumsema vibaya sir alex kuhusu pogba kuondoka karud wimbo umebadilika sasa najua kigezo chao thamani ya pesa pogba kaigharimu manchester united tokea anaanza kusajiliwa na sir alex nasura eufa waifungie kusajili sioni sababu ya kuachia huyu bora wamemrudisha kundini
 
Hili nalo neno.
 
Hahahaha watu wanatokwa povu na bado mtakua mnaangalia mechi huku mmeshika remot yote hiyo ni kwaajil ya wivu hakun kingine
 
By the way, Manchester United is among the richest club world wide. Its not a big deal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…