unatia huruma kwani walioshinda friend mech wamenyakua makombe ya ligi? Chuki mbaya sana hadi kwenye friend mech halafu bado usajili unaendelea nyie ndo mnaoua soka la tz kwa ushabik wa hovyo.
unatia huruma kwani walioshinda friend mech wamenyakua makombe ya ligi? Chuki mbaya sana hadi kwenye friend mech halafu bado usajili unaendelea nyie ndo mnaoua soka la tz kwa ushabik wa hovyo.
unatia huruma kwani walioshinda friend mech wamenyakua makombe ya ligi? Chuki mbaya sana hadi kwenye friend mech halafu bado usajili unaendelea nyie ndo mnaoua soka la tz kwa ushabik wa hovyo.
Tufungwe zote tu. Sio tushinde kama ile ya Van Gaal halafu kwenye league tubaki tunaangaliana.
Tukiwa tunafungwa kocha atagundua mapungufu mapema sana.
Habari nyingi ktk magazeti ya hispania na uingereza zinaonyesha Man U na Real Madrid wapo ktk mazungumzo ya kuuziana James Rodriguez. Do you think he will be perfect fit into our team and the epl league?