Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi kwangu matokeo haya ndiyo ninayataka sio pre season friend matches zote mshinde tu, matokeo yanatia moyo kwa kuwa mapungufu yanaonekana mapema na isitoshe kushinda sana game za kirafiki inatufanya kuona timu imekamilika kumbe sivyo, nina imani na mzee special one he always come up with new strategies, ninategemea mengi mazuri.
 
msiposhushwa daraja na huyo saa mbovu wenu...........
 
msiposhushwa daraja na huyo saa mbovu wenu...........
itakuwa vizur mana hata man akishuka bado atakuta hamna hata timu iliyofikisha makombe 20 ya epl mpinzan liverpool ashajitoa ana aleji nalo.
 
Mkuu unatumia kinywaj gan manake umeandika mpaka nimeskia raha
 
van gaal na moyes walikung'uta madrid na barcelona na cha kuvutia zaid van gaal ktk game kumi za kupasha misuli alipoteza moja 2liporud ktk ligi kila siku presha mou huwaga hafany vizur ktk haya mashindano.
Jipe moyo
 
Msipanick ni mechi ya majaribio. Mtabeba nafasi ya CL baada ya msimu huu. Ukweli pre-season hutakiwi uonekane mzuri kuliko inavyotarajiwa. You have to leave a room for improvement.
Hata squad utakayochezesha isiwe ya kimashindano. Mpe nafasi kila mmoja ashiriki.
 
Utkuja kusutwa umbea mwingine haufai
bas sawa wachumba wa Dortmund. Mnafungwa had na mchezaj anayeitwa Tembele Daaah kweli man u ya Cantona haiwez kujirudia. Yani Tembele ndio anawasumbua
je angeitwa Cabbage si mngeondoka na goli 8

Daaaah siwez amin
Kweli kila chenye mwanzo lazma kiwe mwisho
Viva Tembele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…