Hiyo sio point. Point ni je FA cup ni kombe la kucelebrate? Mlitusema sana baada ya kuwagonga Hull City leo mmewafunga Palace kindondokela (ref: the equalizing goal) mna throw pompoms na matarumbeta kibao..
Hiyo sio point. Point ni je FA cup ni kombe la kucelebrate? Mlitusema sana baada ya kuwagonga Hull City leo mmewafunga Palace kindondokela (ref: the equalizing goal) mna throw pompoms na matarumbeta kibao..
Arsenal 12
United 12 that's all I know, unakumbuka banter zako enzi zileeeee unasema no Manchester utd player mwenye FA cup medal? Sasa kila mmoja anayo
Nani kakwambia FA cup England ni sawa na kombe la kuku?
FA ndo michuano mikongwe zaidi ulimwenguni ikiwa na umri wa zaidi ya miaka 137.
Mkuu,watch your mouth.
Hiyo sio point. Point ni je FA cup ni kombe la kucelebrate? Mlitusema sana baada ya kuwagonga Hull City leo mmewafunga Palace kindondokela (ref: the equalizing goal) mna throw pompoms na matarumbeta kibao..
Hiyo sio point. Point ni je FA cup ni kombe la kucelebrate? Mlitusema sana baada ya kuwagonga Hull City leo mmewafunga Palace kindondokela (ref: the equalizing goal) mna throw pompoms na matarumbeta kibao..
Nani kakwambia FA cup England ni sawa na kombe la kuku?
FA ndo michuano mikongwe zaidi ulimwenguni ikiwa na umri wa zaidi ya miaka 137.
Mkuu,watch your mouth.
Mtani hongeraaaaaaaaa mimi nilishangaa mashabiki mmebana pumzi tafikiri hamkujuwa vile kama kombe ni lenu next time mjiamini sawa, hahahah dalili za ushindi zilikuwa ni chanya kabla hata ya match kwa kurudisha heshima ya club