Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona babu kasikia maombi yangu,

Shen Out, Carrick In. Yaani hii timu ni mtu mmoja tu anayeumia sana pindi inapofungwa

Only Gigs

BACK TANGANYIKA
 
Hili goli hataa sija enjoy aisee, inauma sana aisee utadhani wachezaji wa ligi ya jumapili
 
Hili goli hataa sija enjoy aisee, inauma sana aisee utadhani wachezaji wa ligi ya jumapili

Mkuu,

Niko baa hapa nacheki hili gemu, goli la kwanza, nimesikitika sana. Goli tulilofunga nimevunja bia kwa hasira.. mpaka watu wananishaa leo imekuwaje, ama mimehamia Man city..!!!

Inauma sana aiseee

BACK TANGANYIKA
 
Mkuu,

Niko baa hapa nacheki hili gemu, goli la kwanza, nimesikitika sana. Goli tulilofunga nimevunja bia kwa hasira.. mpaka watu wananishaa leo imekuwaje, ama mimehamia Man city..!!!

Inauma sana aiseee

BACK TANGANYIKA
Acha tu chief, tumebakiza game moja lakini martial ndio kawa mchezaji wa kwanza kufikisha double figure ya magoli EPL kwenye timu yetu kwenye mechi ya 37
 
Mkuu,

Niko baa hapa nacheki hili gemu, goli la kwanza, nimesikitika sana. Goli tulilofunga nimevunja bia kwa hasira.. mpaka watu wananishaa leo imekuwaje, ama mimehamia Man city..!!!

Inauma sana aiseee

BACK TANGANYIKA

Ongeza nyingine nitalipa haaa natania.
Binafsi napenda Man U wakomae wapate kushiriki Champions League ili hata usajili uwe mzuri kwakuwa wachezaji wana penda hayo mashindano pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…