Huu ndo ujinga niliotoka kuusema hivi punde,
Mechi hii ni muhimu sana kwa United, lakini angalia wacheza wanavyocheza, yaani wanajichezea tu utafikiri hakuna wanalolihitaji. Timu imekosa morali, imekosa uzalendo... haya sasa tuko nyuma kwa goli moja na hapa muda wowote tunaweza kuongezwa kwa mchezo huu..
Van Gal sepaaaaa, aseeeeeeeh
BACK TANGANYIKA