Kubalini kuwa finally mmeikamata rasmi michuano ya europa league, hamna wa kuwakuta! Kesho etihadi ni droo, ECL msahau mwaka huu. Kiukweli, manu mmeniangusha sana kwa kushindwa kuitoa arsenal top 4, ndo ilikuwa tiketi ya wenger kuondoka kama angeikosa top 4.