Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Poleni sana watani na hasa Mfarisayo......bundi naona hana makazi maalum....ana zunguka zunguka tu kwa sasa....kazi kweli kweli.....!!!!

Mdharau mwiba.....!!!!
 
Mbona unatufukuza kwenye msiba mkuu ? lol

Miturubai na majamvi naona mmeamua kubaki nayo wikii hii pia simchezo lool.

Haondoki mtu hapa,wao kule kwetu wanakaaa hata baada ya matanga....sasa wiki hii nzima,naotesha mizizi hapa......mi raha tuu.....wapi Manda na Belinda????
 

wamekuwa wateja sasa
 


Wine Romney hakuona ndani leo khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee






Then Loser fools wanajua kupiga kabali aisee hebu Cech ooops siyo Petre Cech wa Chelsick oooops check ... .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 



It's surely all over now as Kuyt completes his hat-trick from close range.






Suarez akimtoroka pensioner Scholes ..... ...... ...





Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



 
Liverpool 3 Manchester United 1
Scorer: Kuyt (33, 39, 64)
Scorer: Hernandez (90)
Attendance: 44,753
FT (15:26)
So where the Man. United fans today.....?????????????
 
Manure fans last week mlisema refa kawabeba Chelsick chacha leo tunachubiri hadithi ingine khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee bado namtafuta Ngong nasikia amejifungia kwenye shimo hataki kuchomoka inabidi tufukize moshi khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Liverpool 3 Manchester United 1
Scorer: Kuyt (33, 39, 64)
Scorer: Hernandez (90)
Attendance: 44,753
FT (15:26)
So where the Man. United fans today.....?????????????

Usijali mkuu., we ar around.., yet tupo kileleni, so wor not broda..)
 
Hongera kwa Daglish kwa kurudisha confidence ya wachezaji wa Liverpool nimegundua huyu jamaa ni master wa big matches,Leo Liverpool walistahili ushindi tunawaomba wafanye hivi pia kwa Arsenal.Majeruhi wameendelea kutu-cost game kama ya leo angekuwa Park Ji Sung tungecheza 4-5-1,sijui Carick amempa nini SAF bora angeanza Fletcher kuliko yeye maana mzigo wote pale kati aliachiwa Babu Scholes Carick hakuna analofanya kabisa
 

Liverpool wetu wale mkuu, huwa wanapata tabu sana ku-match speed yetu.
 

Mkuu kila timu ina majeruhi khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee chacha unaongelea Arsenal huo mpira ni mwezi wa nne khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ndio mkome ubishi hii ni EPL.
 
Liverpool wetu wale mkuu, huwa wanapata tabu sana ku-match speed yetu.
Mkubwa tangu amekuja Daglish Liverpool imebadilika sana Kuyt amerudishwa kucheza foward,Johnson sio fullback tena.Sasa hivi Liverpool sio ile ya kumtegemea Gerrard hata aliyekuwa mchovu LUCAS amebadilika sana cha ajabu hii perfomance wanaionesha wakicheza na timu kubwa tu
 
Katika timu ambazo hazinipi presha ni Arsenal,so far mlitakiwa muwe mnaongoza ligi kwa point moja na game moja mkononi
 

Najua sana kwamba wamebadirika mkuu, lakini bado tutawafunga kutoka na style yetu ya kucheza huwa wanapata shida sana.
 
Katika timu ambazo hazinipi presha ni Arsenal,so far mlitakiwa muwe mnaongoza ligi kwa point moja na game moja mkononi

Mwaka huu tusipochukua kombe sidhani kama kuna excuses zozote naweza kutoa bali mabadiliko yatahitajika. Hawa wote hatuwahitaji next season, denilson,diaby, ben, rosicky,vela na squallaci. Mda wao umefika sasa wapishe kundi lingine lije kufanya kazi wenye uchungu wa kupata nafasi ya ku-shine.
 

Arsenal will never ever be the champion mark my words!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…