Nawasikitikia man u kwa msimu huu watamaliza chini ya westham, soton, na Everton. Sijaonani kwa namna gani mnaweza kuwa juu ya hizo timu. Angalia fixtures zenu zilizobakia
Hapo game rahisi ni dhidi ya westbromwich Albion. Hizo nyingine jasho litawatoka. Bye bye UCL bye bye Europa league.