Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Ingekuwa ni dharau ya mwaka kale katimu kuwatoa sio siri mi kama arsenal sijafikia kuwa na roho mbaya kiasi hicho, mpotee ila walau msipoteze mazima maana ushindani na utani utakuwa hakuna kbs

Forget about UCL huwez kwenda kushinda 3-0 camp nou, lets focus on Sunday's game

what is your prediction?
 
Are you serious? 20yrs old with 10 goals msimu wa kwanza......thierry henry alikuwa na magoli mangapi msimu wa kwanza Arsenal?

Kuwa na magoli 10 msimu wa kwanza sio tija. Ni kitakachomata ni ataendeleaje baada ya hapo.
 
Tunakufunga......
 
Mmoja kat ya washambuliaji bora kabisa kutoka ktk academy inayoongozw na Nicky butty.... mashabik tunafurahia kupata mchezaj kijana na hatari ktk team yetu.. Arse8 mjipange jpili na mje kw tahadhali pale makabuli ya zaman.
 

Attachments

  • 1456515428405.jpg
    37.3 KB · Views: 14
Wewe unachekesha kweli.....kinachomata ataendeleaje wakati wewe ushatoa hukumu eti hasikiki tena??!!!
Kuwa na magoli 10 msimu wa kwanza sio tija. Ni kitakachomata ni ataendeleaje baada ya hapo.
 
i aint Sheikh Yahya
 
Haters hamuishiwi maneno walivyotupiga 2-1 mlikesha humu mkitusema tukaonekana vilaza Leo wamekula tano nothing special mweeee!!!!!........
Ndipo utagundua chuki inaua mara ooh katimu kameanzishwa mwaka 99 kamewafunga mara sikushangaa maana hata Aston villa wangewafunga yaani kwao haters moja haikai mbili haionekani ila tuwavumilie man u historia yake inajieleza haihitaji usaidizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…